RAIS DK.MWINYI AMEFUNGUA IJITIMAI YA KIMATAIFA KIDOTI ZANZIBAR

timai ya Kimataifa iliofanyika leo.(Picha na Ikulu) RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhadj Dk. Hussein Ali Mwinyi ametoa shukuran kwa waislamu wote waliochangia sadaka zao ili kufanikisha Ijitmai ya Kimataifa mwaka 2021 na kubainisha hatua hiyo kuwa ina fadhila kubwa kutoka kwa Mwenyezi Mungu. Alhadj Dk. Mwinyi amesema hayo katika hafla